TAHADHARI JUU YA MAAMBUKIZI MAPYA YA UGONJWA WA KORONA
TAHADHARI JUU YA MAAMBUKIZI MAPYA YA UGONJWA WA VIRUSI VYA KORONA TAHADHARI JUU YA MAAMBUKIZI MAPYA YA UGONJWA WA KORONA
TAHADHARI JUU YA MAAMBUKIZI MAPYA YA UGONJWA WA VIRUSI VYA KORONA TAHADHARI JUU YA MAAMBUKIZI MAPYA YA UGONJWA WA KORONA
Lorem Ipsum has been the industry’s standard dummy text ever since the 1500s
Tume iwaapishe mawakala wa vyama vyote bila upendeleo
Mkuu wa Idara ya Uenezi na mahusiano ya umma Taifa ndugu Edward Julius Simbeye, amesema NCCR-Mageuzi ikiwa ni moja ya chama cha siasa kilichoshiriki uchaguzi huo akiyatambui matokeo ya uchaguzi huo
Kamati ya maadili ya Taifa ya Uchaguzi imesitisha adhabu za kufungiwa kwa siku 7 kwa wagombea wa chama cha NCCR-Mageuzi ndugu James Francis Mbatia pamoja na ndugu Anthony Calist Komu
NCCR-MAGEUZI MAKAO MAKUU Mtaa wa Kilosa, Namba 2 S.L.P. 72474 Ilala Dar es Salaam Tanzania Phone +255719 454 722 Email info@nccrmageuzi.or.tz
Historia ya Chama Tarehe 11 na 12 Juni, 1991 vikundi mbali mbali vya watanzania waliokuwa wamedhamiria kuleta Mageuzi vilitisha kongamano jijini Dar es Salaam kudai mbadiliko katika mfumo wa siasa na serikali. Waliazimia kuunda kamati ya kitaifa kwa ajili ya mageuzi ya Katiba (National Committee for Constitution Reform), kwa kifupi NCCR. Kamati hiyo iliwahamasisha wananchi…
VIONGOZI WAKUU WA CHAMA KITAIFA Haji Ambar Khamis Mwenyekiti Taifa Joseph Roman Selasin Makamu Mwenyekiti (Bara) Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) Martha R. Chiomba Katibu Mkuu Ameir Mshindani Ali Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar) Sussane P. Maselle Mweka Hazina (T)
Vikao vya Chama vina muundo ufuatao:- 1. Shina 2. Kitongoji 3. Tawi 4. Kata/Wadi 5. Jimbo 6. Mkoa 7. Taifa