Idara za Chama
Chama kina Sekretariati ya Chama katika kila ngazi; za Taifa, Jimbo, Kata/Wadi na Tawi.
Katika ngazi ya Taifa kutakuwa na Sekretariati katika Makao Makuu ya Chama Dar Es Salaam na katika ofisi ndogo ya Makao Makuu ya Tanzania Zanzibar.
Sekretariati ya kila ngazi itakuwa na idara zifuatazo:-