Dira, Dhima na Kauli Mbiu

Dira/ Madhumuni

Kuwa na chama chenye nguvu kinachofuata itikadi ya UTU, kinachoongoza taifa na kanda (ndani ya Afrika) kwa mawazao tokevu ya kimaendeleo ili kurejesha na kuendeleza ustawi wa jamii, haki, na mafanikio ya mwanadamu.

Dhima/ Madhumuni

Kuleta mageuzi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii na nchini na katika kanda (ndani ya Afrika) kwa lengo la kukuza ustawi wa watu wote.

Kauli Mbiu

Utu, Ambayo Misingi Yake Ni Udugu, Maadili, Usawa, Haki, Imani, Mabadiliko, Uhuru, Wajibu, Asili, Kazi Na Endelezo.